OIC, MBWA MWITU ALIYEVAA NGOZI YA KONDOO.
OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo
 
     
      Jumuiya ya nchi za kiislam OIC[ organization of islamic conference] iliasisiwa mwaka wa 1969,
 
     jumuiya hii ilianzishwa nchini MOROCCO tarehe 21Agust 1969 AD, au 12 Rajab 1389 H,
 
     *. Jumuiya hii ilianzishwa kutokana na mashabulizi ya ISRAEL 
yaliyofanywa dhidi ya nchi za kiarabu, na kutekwa kwa mji wa YERUSALEM,[
 AL-QUDA], katika vikao viwili kile cha MOROCCO tarehe 25 september 
1969, na kile cha mjini JEDDAH cha mwezi machi 1970 kiliweka maazio ya 
kuuteuwa kwa muda mji JEDDAH kuwa makao makuu ya muda ya OIC ambapo 
kikao hicho kiliazimia kuwa MAKAO MAKUU YA KUDUMU YA OIC YATAKUWA NI 
YERUSALEMU.
 
     Moja ya kipaumbele kikuu na lengo kuu la 
kuasisiwa kwa OIC ni kuikomboa YERUSALEMU kutoka mikononi mwa ISRAELI 
pamoja na msikiti MTAKATIFU WA AL-AQSA ulio sehemu muhimu kwa imani ya 
kiislam kwani AL-AQSA ndiyo QIBLA cha kwanza cha waislam kabla 
hakijageukia AL-KAABA. hivyo yaliwekwa maazimio matatu muhimu,
 
     1. kujijengea uwezo kwa kufanya yafuatayo. [a] kujenga mshikamano miongoni mwa waislam,
     [b] kujenga mashirikiano ya jamii nzima ya kiislam,
     [c] kuupigania uislam kwa kulindamaeneo MATAKATIFU pamoja kulinda vitabu VITAKATIFU,
 
     2. kuunganisha nguvu ili [a] kupigania sehemu TAKATIFU.
     [B] kuunga mkono harakati za WAPALESTINA KUJIKOMBOA,
     3.Kufanya kazi kwa pamoja
     [a] kuondoa ubaguzi miongoni mwa waislam na
     [b]kueneza dini na utamaduni wa kiarabu. nk.
 
     ili kufanikisha azma na malengo ya jumuiya vilianzishwa vyombo 
mbalimbali vya kusimamia shughuli zote kulingana na vipaumbele husika, 
ili kuyafikia malengo hayo KIKAO KILIGUSIA maeneo haya. ELIMU, SIASA, 
UCHUMI na DINI , mambo haya yaliwekwa chini ya KATIBU MKUU ili 
kuhakikisha kuwa malengo yanafanikiwa
     1-KUHAKIKISHA KUWA 
ZINAANZISHWA SHULE ZA KIDINI[MADRASSA ] zitakazo toa ELIMU ya DINI-SIASA
 kazi kubwa ya shule hizi ni kujenga uadui kati ya UTAWALA WA 
KIZAYUNI[ISRAEL ] uliolikalia kwa nguvu eneo takatifu la yerusalem ulipo
 mskiti wa AL-AQSA , mbinu hii imesaidia sana kwani baada vijana wengi 
kufunzwa katika MADRASA hizi za DINI SIASA[ UDINI] tumewashuhudia 
wakitamka hadharani kuwa UTAWALA WA KIZAYUNI UNAPASWA KUFUTWA KWENYE 
RAMANI YA DUNIA NA PALESTINA LIWE TAIFA HURU,
 
     chini ya 
mwamvuli huu mara kadhaa tumewasikia wahubiri wadini ya kiislam kama 
vile ABOOD MOHAMEDY ROGO, ANWAR AL AWALAKI, ABU QATADA, na wengineo 
wakiwahamasisha vijana wa kiislam kwenda PALESTINA kuwapigania ndugu 
zao.
     Kivuli hiki cha DINI SIASA kimeendelea kukua hasa pale 
mataifa ya MAGHARIBI kuonekana wakiingua mkono ISRAEL, mafundisho haya 
ya dini siasa sasa yanazigusa hata nchi hizi zinazoonekana kuwa ni 
washirika wa utawala wa KIZAYUNI,
     katika mafundisho haya ya DINI
 SIASA yaliyoasisiwa na OIC yamefanikiwa kuzalisha makundi ya KIGAIDI na
 MISIMAMO MIKALI YA DINI-SIASA[UDINI] ndiyo maana nchi ambazo zilikuwa 
za mwanzo kujiunga na jumuiya hii kwa sasa zinakabiliwa na mfumuko wa 
siasa kali za udini,
     UDINI ulionwa kuwa ndiyo njia pekee ya 
kuyayafikia malengo, yaani kuwafundisha vijana wa kiislam kuwa ADUI YAO 
NI YULE ANAYEWANYIMA HAKI YA KUWA NA YERUSALEM.
     hapa ndipo yalipoanza madai ya kile kinachoitwa MFUMO KRISTO, yaani washirika wa utawala wa MAZAYUNI
     unaowanyima haki waislam, kwa kutumia mbinu za hali ya juu za kutengeneza mazingira wamefanikiwa kuziteka nyoyo za wengi.
 
     Madhumuni ni mamoja tuu, KUKUSANYA NGUVU NA KUIKOMBOA YERUSALEM ILI IWE NI MAKAO MAKUU YA OIC.
     hata hapa kwetu mafundisho haya tayari yamekwisha kupenyezwa
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
kazi kweli kweli
ReplyDelete